Friday, December 21, 2012

Mheshimiwa Godbless Lema awa tena mbunge wa Arusha

Mheshimiwa Godbless Lema



Mahakama ya Rufaa imempa ushindi Mbunge wa Arusha mjini Mh. Godless Lema

(CHADEMA), 

aliyekuwa amefungua kesi ya kupinga maamuzi ya Mahakama Kuu ya Arusha iliyokua 

imefuta 

Ubunge wake wa Jimbo la Arusha mjini.

Thursday, December 20, 2012

Real Madrid na Man United Nani zaidi katika kinyanganyiro kijacho?

Hivi kati ya Real Madrid na Man U kukutana UEFA mnaichukuliaje? Nani ana nafasi ya kushinda?

Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Atangaza Matokeo ya Darasa la Saba 2012


Waziri wa Elimu na  Mafunzo ya Elimu Dr. Shukuru Kawambwa

  WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa leo ametangaza matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2012 uliofanyika nchini kote  tarehe 19 na 20 Septemba, 2012.   

   Katika Mtihani huo Jumla ya wanafunzi 894,881 walisajiliwa kufanya mtihani huo ambapo   wavulana ni  426,285 sawa na asilimia 47.64  na wasichana ni 468,596  sawa na asilimia 52.36. Aidha, kati ya  wanafunzi hao, wapo wanafunzi 874,379  ambao walitarajiwa kufanya mtihani huo kwa lugha ya Kiswahili na wanafunzi 20,502 walitarajiwa kufanya kwa lugha ya Kiingereza ambayo ndiyo waliyoitumia kujifunzia.  

  Wanafunzi wasioona waliosajiliwa kufanya mtihani ni 92 wakiwemo wavulana 53 na wasichana 39.  Watahiniwa wenye uono hafifu ambao huhitaji maandishi makubwa ni 495, kati yao wavulana ni 238 na wasichana ni 257.

Wednesday, December 19, 2012

A Touching Story

  There was a man whose wife
was pregnant, One day they
were eating, along the line the
woman fell down and died, the
woman was rushed immediately
to the hospital to know if the
baby in her womb was still alive,
when they arrived the hospital,
they rushed her into the
operation room, the doctor
quickly operated on her, and the
baby was brought out alive, The
husband of the woman started
praying to God, with tears rolling
out from his eyes, telling God to
make her wife to be alive, since
the baby came out alive,
immediately the doctor finish
operating on the woman, Behold
the woman was found
breathing, everybody in the
hospital both the husband were
shocked and they begin to
thank God for such a Miracle.

    Now listen carefully!
I decree by the name that is
above all other names, let there
be peace to every storms you are
facing, anything that seems
impossible in your life, shall be
possible beginning from today,
kings shall come to your rising,
no more delay again in your life,
beginning from today you shall
experience supernatural speed
in whatever you tend to achieve
in life.
***So shall it be in Jesus name!***
       ***Phile Lyk***
 http://facebook.com/pshayo2