WATU MAARUFU




______________________________________________________



MWANDISHI MKUBWA WA AFRIKA (CHINUA ACHEBE) KAIAGA DUNIA


Mwandishi mashuhuri wa vitabu nchini Nigeria Chinua Achebe, ambae alikuwa anatajwa kuwa ndie babu wa fasihi ya kisasa barani Afrika, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82.

 http://achebebooks.com/wp-content/uploads/2011/11/Chinua-Achebe-speakn-abt-thingsfallapart1.jpg
Msemaji wa kampuni ya Penguin ya mjini London inayochapisha vitabu vya Achebe alitangaza kifo chake kupitia barua pepe aliyoituma katika  mashirika ya habari. Vyombo vya habari nchini Nigeria viliripoti kuwa Achebe alifariki katika hospitali mjini Boston, Massachusetts Marekani. Achebe alifahamika zaidi kutokana na kitabu chake cha hadithi cha 'Things Fall Apart' cha mwaka 1958, ambamo alizungumzia kisa cha msuguano baina ya watawala wa kikoloni wa Uingereza na utamaduni wa watu wa kabila la Igbo, katika eneo alikozaliwa kusini-mashariki mwa Nigeria.


_______________________________________________________________________


 RIHANNA ALIZALIWA

Robyn Rihanna Fenty, known by her stage name Rihanna, is a Barbadian recording artist, actress and fashion designer.
 http://thatgrapejuice.net/wp-content/uploads/HLIC/eadf77859fbf11a3cf368d528b227d7d.jpg
Born in Saint Michael, Barbados, she began her career as a result of meeting record producer Evan Rogers in late 2003. 
Born: February 20, 1988 (age 25),
Height: 1.73 m
Weight: 63.5 kg
Full name: Robyn Rihanna Fenty



***********************************************************************

No comments:

Post a Comment