Tuesday, May 7, 2013

BALOZI WA VATICAN ALIYENUSURIKA KATIKA SHAMBULIZI LA BOMU ARUHUSIWA KUONDOKA ARUSHA

Ilikuwa ni dakika za majonzi na masikitiko kwa kundi lote lililokuwa limemsindikiza uwanja wa ndege Balozi wa Papa ambaye ameondoka leo mjini Arusha kuelekea Dar, baada ya kunusurika katika shambulio la bomu lililorushwa wakati akiwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa kanisa la Mt. Joseph Mfanyakazi huko Olasiti Arusha.



Mwakilishi wa Papa akiwa na Askofu Lebulu akitoka kwenye VIP ya Arusha Airport kuelekea kwenye ndege ya Precision .
Click image for larger version. 

Name:	DSC00042.JPG 
Views:	0 
Size:	164.6 KB 
ID:	92800

Hapa akisaidiwa na wafanyakazi wa Precision kukamilisha dokomenti zake za Usafiri, huku ulinzi ukiwa umeimarishwa 
Click image for larger version. 

Name:	DSC00043.JPG 
Views:	0 
Size:	164.3 KB 
ID:	92801
Kwaheri Mtumishi wa Mungu, tunaomba uje tena tutakapoamua kuzindua upya Parokia Yetu ya Yosefu Mfanyakazi- Olasiti Arusha.

Click image for larger version. 

Name:	DSC00044.JPG 
Views:	0 
Size:	162.5 KB 
ID:	92802
Safari yako na iwe njema, Malaika wa mbinguni wakuongoze!

Click image for larger version. 

Name:	DSC00045.JPG 
Views:	0 
Size:	164.7 KB 
ID:	92805

Hapa anaagana na watumishi wa Mungu na kundi lote lililomsindikiza.

Click image for larger version. 

Name:	DSC00048.JPG 
Views:	0 
Size:	165.0 KB 
ID:	92806

Sunday, May 5, 2013

PICHA MBALIMBALI ZA TUKIO ZIMA LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA KATOLIKI HUKO ARUSHA






BOMU LALIPUKA KANISA KATOLIKI PAROKIA OLASITI



http://arushacity.com/wp-content/themes/directorypress/thumbs//Arusha-Map-2012-Transparent-300x291.png
DURU za Habari kutoka Jijini Arusha hii leo zinasema mlipuko mkubwa umetokea katika Kanisa Katoliki Parokia ya  Olasiti  Jijini humo.

Taarifa zaidi zinasema watu kadhaa huenda wamejeruhiwa. Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema kuna watu walikuja na gari eneo la Kanisa hilo wakarusha kitu huku wengine wakidai kuwa kitu hicho kililipuka kutoka katika kifusi cha udongo uliomwagwa wa moramu.

Inasemekana kulikuwa na ugeni kutoka Vatican ambao ulikuja kufanya changizo kwa ajili ya ujenzi wa kigango mahali hapo.

Waliokuwemo ndani ya Kanisa hilo mapema leo asubuhi wanasema ni wakati Baba Askofu alipokuwa akibariki maji na kuweka chumvi (tendo la kubariki) ndipo mlipuko ulipotokea.

Inasemekana watu zaidi ya 20 wamefariki dunia licha ya taarifa hizo kutothibitishwa na Polisi.

Jeshi la Polisi halijatoa taarifa yake kuhusu tukio hilo.

HABARI ZAIDI HAPO BAADAYE….
.